Hawa ndio wasanii wa kike Makahaba Tz, Wanauza miili yao ili waishi Cheki hapa..

SOCIALIZE IT ⇨

NCHI za wenzetu staa kupiga picha za utupu si
kitu kigeni lakini Kibongobongo sheria na
maadili ya Mtanzania hayaruhusu kufanya
hivyo.


Aunt Lulu.
Licha ya kubanwa na sheria pamoja na maadili,
wapo wasanii ambao kwa nyakati tofauti
walijikuta katika adha ya kupigwa kama si
kujipiga picha za utupu kisha zikazagaa
Wapo waliotajwa kupiga picha hizo , waliopigwa na
wapenzi wao kisha
wakazivujisha lakini wengine imedaiwa kuwa
wamezivujisha wenyewe na kusingizia
zimevujishwa na wapenzi wao.
Ifuatayo ni orodha ya wasanii mbalimbali
Bongo ambao waliwahi kukwaa skendo ya picha
za utupu:

Wema Sepetu.
Wema Sepetu:
Mwaka 2010 picha yake ya utupu ilizagaa
mtandaoni huku ikidaiwa kuwa chanzo cha
kusambaa kwake ni boifrendi wake ambaye
alimpiga na kuzisambaza. Kama hiyo haitoshi,
mwaka huu mrembo huyo alidaiwa kuposti
picha zake nyingine za utupu katika mtandao
wa Instagram.
Diana Hussein:
Huyu ni Miss Dar Indian Ocean ambaye pia ni
Miss Kinondoni namba 2 mwaka jana, mrembo
huyo hivi karibuni amejikuta akipata aibu
baada ya picha yake ya utupu kuvuja. Ilidaiwa
kuwa alifanya hivyo kwa azma ya kusaka
umaarufu.

0 comments:

Post a Comment