MASANJA MKANDAMIZAJI HOI BIN TAABANI HOSPITALI.. KISA CHOTE KIPO HAPA
masanja mkandamizaji awataka watanzania na
mashabiki wake kiujumla wawe na kawaida ya
kucheki afya zao angalau kwa mwaka mara moja,
okay na hayo ndio maneno ya masanja
mkandamizaji akizungumzia swala hilo kupitia
mtandao wa makubwa haya Wajameni... Tujifunze
kucheki afya kila mara... Ukijua afya yako utajua na
mipango yako inakaakaaje pia..
0 comments:
Post a Comment